Wachuuzi wa Samaki katika marikiti Kuu ya Darajani Zanzibar akiwa na samaki aina ya jodari wakijiandaa kumpima kuweza kujuwa uzito wake na kupata uzito wake na kupata uzito wake akiwa na kilo 39, katika mnada huo kilo moja ya samaki huyo imeuzwa shilingi 9000/= kwa kilo moja kwa wachuuzi wadigo katika marikiti hiyo ya samaki na kipande kimoja kiliuzwa kuazia shilingi 2000/=
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Dimwa : Aridhishwa na Mafanikio Sekta
ya Michezo Zanzibar
-
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akikabidhiwa Jezi
ya Zanzibar Heroes na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF)
Sule...
6 minutes ago
Jamaniii eeenh samaki wasiekwe Chini.
ReplyDelete