Rais John Magufuli akimkabidhi Tuzo ya ushindi wa kipengele cha
mawasiliano ya Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa sabasaba 2017 kwa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Tanzania, Simon Karikari, jijini Dar Es
Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles
Mwijage. (Na Mpiga Picha Wetu).
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
18 hours ago

No comments:
Post a Comment