Rais John Magufuli akimkabidhi Tuzo ya ushindi wa kipengele cha
mawasiliano ya Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa sabasaba 2017 kwa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Tanzania, Simon Karikari, jijini Dar Es
Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles
Mwijage. (Na Mpiga Picha Wetu).
MADEREVA WA MAGARI WAELIMISHWA KUHUSU USALAMA WA BARABARANI
-
Na Albert Kawogo
MADEREVA wanaotumia barabara ya Bagamoyo kuelekea mikoa ya kaskazini ya
Tanzania wametakiwa kuwa makini katika kufuata sheria za usalama...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment