Wachezaji wa Timu yac Okapi kutoka Kisiwani Pemba wakiwa katika mazoezi yao ya kujitayarisha na mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora na Timu ya Jangombe Boys inayotarajiwa kufanyika katika uwanja huo siku ya jumatano jioni Wakiwa chini ya Kocha wao Mkuu Hafidh Shoka.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment