Mafundi wa Mradi wa ufungaji wa Camera za CCTV katika mitaa mbalimbali katika Mji Mkongwe wa Zanzibar wakiendelea na zoezi hilo la ufungaji wa camera hizo katika moja ya mtaa wa mji mkongwe shangani Unguja kama walivyokutwa katika mtaa huo wakiwa katika harakati za ufungaji wake ili kuimarisha hali ya mazingira ya usalama katika mitaa hiyo.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment