Mafundi wa Mradi wa ufungaji wa Camera za CCTV katika mitaa mbalimbali katika Mji Mkongwe wa Zanzibar wakiendelea na zoezi hilo la ufungaji wa camera hizo katika moja ya mtaa wa mji mkongwe shangani Unguja kama walivyokutwa katika mtaa huo wakiwa katika harakati za ufungaji wake ili kuimarisha hali ya mazingira ya usalama katika mitaa hiyo.
BODI YA VETA YATEMBELEA CHUO CHA VETA SHINYANGA, YATOA MAAGIZO
-
*Wajumbe wa Bodi ya VETA (VETA BOARD) imeutaka uongozi wa VETA kuhakikisha
wanaweka mazingira wezeshi ya kufundishia ili iwe kimbilio kwa kila mmoja
h...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment