Mafundi wa Mradi wa ufungaji wa Camera za CCTV katika mitaa mbalimbali katika Mji Mkongwe wa Zanzibar wakiendelea na zoezi hilo la ufungaji wa camera hizo katika moja ya mtaa wa mji mkongwe shangani Unguja kama walivyokutwa katika mtaa huo wakiwa katika harakati za ufungaji wake ili kuimarisha hali ya mazingira ya usalama katika mitaa hiyo.
PROF. MKENDA AZIPONGEZA SHULE BINAFSI KUSITISHA MASOMO KUTOKANA NA HALI YA
HEWA MBAYA
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imewataka wazazi na walezi pindi
wanapoona mvua kubwa zinanyesha kutowaruhusu wat...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment