Mafundi wa Mradi wa ufungaji wa Camera za CCTV katika mitaa mbalimbali katika Mji Mkongwe wa Zanzibar wakiendelea na zoezi hilo la ufungaji wa camera hizo katika moja ya mtaa wa mji mkongwe shangani Unguja kama walivyokutwa katika mtaa huo wakiwa katika harakati za ufungaji wake ili kuimarisha hali ya mazingira ya usalama katika mitaa hiyo.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment