Habari za Punde

Wananchi wa Kijiji cha Chambani Wanapata Elimu ya Sheria.


DIWANI wa wadi ya Ngwachani Jimbo la Chambani wilaya ya Mkoani Pemba, Salum Makame Juma, akifungua mkutano wa wazi, wa kutoa masaada wa kisheria kwa wananchi wa shehia ya Ukutini, mkutano huo uliandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
AFISA Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Khalfan Amour Mohamed, akijibu mawasli ya wananchi wa shehia ya Ukutini, juu ya haki ya umiliki wa ardhi, wakati watendaji wa Kituo hicho walipofika shehiani humo, kuwapa msaada wa sheria wananchi hao
WATENDAJI wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, kulia ni Afisa Mipango wa Kituo hicho Siti Habibu Mohamed na kushoto ni Mratibu wa Kituo hicho, Fatma Khamis Hemed, wakisoma moja ya majarida, yanayochapishwa na Kituo hicho, kabla ya kuanza mkutano wa kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi wa shehia ya Ukutini Jimbo la Chambani wilaya ya Mkoani Pemba
WANANCHI wa shehia ya Ukutini Jimbo la Chambani wilaya ya Mkoani Pemba, wakifuatilia mkutano wa kutoa msaada wa kisheria, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba

WANANCHI wa shehia ya Ukutini Jimbo la Chambani wilaya ya Mkoani Pemba, wakifuatilia mkutano wa kutoa msaada wa kisheria, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
MWANANCHI wa shehia ya Ukutini Jimbo la Chambani wilaya ya Mkoani Pemba, Asia Saleh Salim, akiomba ufafanuzi nini afanye iwapo atabaini mwanawe ameshabakwa  na hakuwashuhudia, kwenye mkutano wa kutoa msaada wa kisheria, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
WANANCHI wa shehia ya Ukutini Jimbo la Chambani wilaya ya Mkoani Pemba, wakifuatilia mkutano wa kutoa msaada wa kisheria, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
WANANCHI wa shehia ya Ukutini Jimbo la Chambani wilaya ya Mkoani Pemba, wakifuatilia mkutano wa kutoa msaada wa kisheria, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
AFISA Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Siti Habibu Mohamed, akigawa machapisho yanayotayarishwa na ZLSC, kwa wananchi wa shehia ya Ukutini Jimbo la Chambani, mara baada ya kumalizika mkutano wa kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi hao, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.