Habari za Punde

Mafunzo ya kukabiliana na maafa kwa watendaji wa taasisi mbali mbali za Serikali Pemba

 MSHAURI wa Makamu wa Rais Pemba, Amran Massoud Amran akitoa ufafanuzi wakati wa mafunzo ya kukabiliana na maafa kwa watendaji wa taasisi mbali mbali za Serikali Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
 WATENDAJI wa Taasisi mbali mbali za serikali Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa sheria ya kukabiliana na maafa Zanzibar na kujuwa kila mtendaji jukumu laken katika sheria hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
 MRATIBU wa Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Pemba, Khamis Arazk akiwasilisha mada ya sheria ya kukabiliana na Maafa Zanzibar, kwa watendaji wa taasisi za Serikali Pemba na kila mtendaji kujuwa jukumu lake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
WATENDAJI wa Taasisi mbali mbali za serikali Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa sheria ya kukabiliana na maafa Zanzibar na kujuwa kila mtendaji jukumu laken katika sheria hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.