BADO suala la usafiri wa uhakika wa wananchi wa
Kisiwa cha Fundo na Kokota Wilaya ya Wete, imekuwa ni kitendawili pichani
wananchji wakiwa wamejazana katika moja ya vyombo vya usafiri wakitoka
bandarini Wete kwenda Kisiwa cha Fundo.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Tumieni Uzoefu Kuharakisha Mabadiliko - Balozi Kusiluka
-
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka akiongea na Mabalozi
katika warsha ya kutathimini utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje
inayofanyika mjini...
1 day ago
No comments:
Post a Comment