Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa Ndege
wa Entebe nchini Uganda ambapo pamoja na mambo mengine atahudhuria vikao vya Wakuu
wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki vitakavyoanza kesho jijini Kampala
nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa Ndege
wa Entebe nchini Uganda ambapo pamoja na mambo mengine atahudhuria vikao vya Wakuu
wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki vitakavyoanza kesho jijini Kampala
nchini Uganda.
Kikundi
cha ngoma za Asili cha Masters of ground kutoka Wilaya cha Kyotera, Masaka
nchini Uganda wakitumbuiza mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa
Entebe nchini Uganda.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na mwenyeji wake Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri
Museveni mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Entebe nchini Uganda.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
mwenyeji wake Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri Museveni kabla ya kuanza
mazungumzo yao katika Ikulu ya Entebe nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na ujumbe wake katika
Mazungumzo na Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri Museveni katika Ikulu ya Entebe
nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Kitaabu cha Wageni mara
baada ya kuwasili katika Ikulu ya Entebe nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyeji wake Rais wa
Uganda Yoweri Museveni mara baada ya mazungumzo yao katika Ikulu ya Entebe
nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyeji wake Rais wa
Uganda Yoweri Museveni mara baada ya mazungumzo yao katika Ikulu ya Entebe
nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyeji wake Rais wa
Uganda Yoweri Museveni mara baada ya mazungumzo yao katika Ikulu ya Entebe
nchini Uganda.Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment