NAIBU
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Mgeni Hassan Juma, akimkabibidhi
Cheti cha ushiriki wa Mbunge wa Bunge la Vijana kutoka Wilaya ya Kaskazini B
Unguja Abdallah Hemed, wakati wa ufungaji wa Bunge hilo
MWENYEKITI
wa Chama cha Mabunge Bunge la Jumuiya ya Madola Tawi la Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu
Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akizungumza wakati wa ufungaji wa Bunge hilo
la Vijana Zanzibar kuadhimisha Siku ya Jumuiya ya Madola Duniani, lililofanyika
katika Ukumbi wa Baraza Chukwani.
No comments:
Post a Comment