Habari za Punde

Mashindino ya Kuhifadhi Qur-An Juzuu 5,10 na 30 Zanzibar Yalioandaliwa na Jumuiya ya Kuhifadhsha Qur-An Zanzibar Yaliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Mchangani Zanzibar.



AMIR I wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-An Zanzibar Sheikh. Suleiman Omar (Mwalimu Sule) akisoma dua wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-An, juzuu 5,10 na 30 yaliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Mchangani Zanzibar

KIONGOZI wa Majaji Sheikh. Jabir Abeid Shamte akitowa maelezo kwa Washiriki wa mashindano ya kuhifadhi Qur-an juzuu 5,10 na 30 kabla ya kuaza mashindano hayo yaliofanyika katika msikiti wa Mchangani Zanzibar, akiwa na jopo la majaji.
WASHIRIKI wa mashindano ya kuhifadhi Qur-an wakifuatilia mashindano hayo yaliofanyika katika msikiti wa mchangani Zanzibar na kuwashirikisha wanafunzi kutoka Zanzibar

MSHIRIKI wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an Juzuu 5, Mwanafunzi Ahmeid Said Saleh akishiriki katika mashindano hayo yaliofanyika katika Msikti wa Mchanani Zanzibar






VIONGOZI wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-an Zanzibar na mgeni rasmin Mwalim Aliyani wakifuatilia mashindano hayo wakati washiriki wakisoma Qur-an, yaliofanyika katika msikiti wa mchangazi Zanzibar




MWANAFUNZI Masoud Khamis Sultan akishiriki katika mashindano ya kuhifadhi Qur-an juzuu 30, yaliofanyika katika msikiti wa mchangani Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.