Habari za Punde

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania Ajitambulisha Kwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid akizungumza na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mama. Gaudencia Kabaka alipofika Katika Majengo ya Baraza la Wawakilishi na Ujumbe wake Kujitambulisha Kwa Spika leo Chukwani Zanzibar.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.