Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid akizungumza na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mama. Gaudencia Kabaka alipofika Katika Majengo ya Baraza la Wawakilishi na Ujumbe wake Kujitambulisha Kwa Spika leo Chukwani Zanzibar.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment