Kiwanja cha Mpira cha Timu ya Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar na Timu ya Taifa ijulikanayo kwa jina la Wazee Sport Club Zanzibar, hutumia kiwanja hicho kwa ajili ya kufanya mazoezi yao wakati wa jioni, wameamua katika kipindi hichi kukiboresha kwa kuweza kukiimarisha upya na kupanda maji ili kuwa katika kiwango cha kimataifa na viwanja vengine vya mpira Duniani.
WAZIRI JAFO AIPONGEZA WMA KUSIMAMIA KIKAMILIFU UBORA WA BIDHAA
ZINAZOZALISHWA VIWANDANI
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza leo Mei
13,2025,jijini Dodoma,katika Kikao cha Menejimenti ya Wakala wa Vipimo
Tanzan...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment