Kiwanja cha Mpira cha Timu ya Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar na Timu ya Taifa ijulikanayo kwa jina la Wazee Sport Club Zanzibar, hutumia kiwanja hicho kwa ajili ya kufanya mazoezi yao wakati wa jioni, wameamua katika kipindi hichi kukiboresha kwa kuweza kukiimarisha upya na kupanda maji ili kuwa katika kiwango cha kimataifa na viwanja vengine vya mpira Duniani.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment