Kiwanja cha Mpira cha Timu ya Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar na Timu ya Taifa ijulikanayo kwa jina la Wazee Sport Club Zanzibar, hutumia kiwanja hicho kwa ajili ya kufanya mazoezi yao wakati wa jioni, wameamua katika kipindi hichi kukiboresha kwa kuweza kukiimarisha upya na kupanda maji ili kuwa katika kiwango cha kimataifa na viwanja vengine vya mpira Duniani.
AFYA CLUB RUVUMA YAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA HAYATI NYERERE –
MWANKOO ATOA WITO WA KUZINGATIA MAZOEZI NA KULINDA AMANI.
-
SONGEA_RUVUMA.
Maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere, kwa Mkoa wa Ruvuma yamefanyika leo katika Uwanja wa ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment