Kiwanja cha Mpira cha Timu ya Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar na Timu ya Taifa ijulikanayo kwa jina la Wazee Sport Club Zanzibar, hutumia kiwanja hicho kwa ajili ya kufanya mazoezi yao wakati wa jioni, wameamua katika kipindi hichi kukiboresha kwa kuweza kukiimarisha upya na kupanda maji ili kuwa katika kiwango cha kimataifa na viwanja vengine vya mpira Duniani.
Burudani Mpya Ya Kasino Imefika, Slotopia Kuleta Mzuka Meridianbet
-
MERIDIANBET wanajivunia kuwaletea wapenzi wa kasino mtandaoni jambo jipya
linaloweza kubadilisha kila mzunguko kuwa tukio la kushangaza. Slotopia
ameingi...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment