Kiwanja cha Mpira cha Timu ya Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar na Timu ya Taifa ijulikanayo kwa jina la Wazee Sport Club Zanzibar, hutumia kiwanja hicho kwa ajili ya kufanya mazoezi yao wakati wa jioni, wameamua katika kipindi hichi kukiboresha kwa kuweza kukiimarisha upya na kupanda maji ili kuwa katika kiwango cha kimataifa na viwanja vengine vya mpira Duniani.
DKT POSSI AHIMIZA UWAJIBIKAJI BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Ali Possi akiwasilisha hotuba
ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la TCAA linalofanyika
Morogoro
...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment