Tangazo: Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar, inawaomba wananchi wote kuchukua tahadhari juu ya upepo mkali na mawimbi makubwa ya bahari yapatayo mita mbili yanayoweza kutokea katika maeneo mbalimbali ya visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia siku ya Ijumaa tarehe 20 Julai hadi siku ya Jumatatu tarehe 23 Julai 2018. Tushirikiane kwa pamoja kupunguza athari za majanga yanayoweza kutokea.
[20/07, 06:45] +255 777 419 231: Aidha, kamisheni inawaomba wananchi, kuepuka kukaa chini ya miti mirefu pamoja kuwa waangalifu juu ya matumizi ya vyombo vya uvuvi na usafiri baharini.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment