Tangazo: Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar, inawaomba wananchi wote kuchukua tahadhari juu ya upepo mkali na mawimbi makubwa ya bahari yapatayo mita mbili yanayoweza kutokea katika maeneo mbalimbali ya visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia siku ya Ijumaa tarehe 20 Julai hadi siku ya Jumatatu tarehe 23 Julai 2018. Tushirikiane kwa pamoja kupunguza athari za majanga yanayoweza kutokea.
[20/07, 06:45] +255 777 419 231: Aidha, kamisheni inawaomba wananchi, kuepuka kukaa chini ya miti mirefu pamoja kuwa waangalifu juu ya matumizi ya vyombo vya uvuvi na usafiri baharini.
WAZIRI MKUU DKT MWIGULU NCHEMBA AONGOZA KIKAO KAZI CHA WAFANYAKAZI DODOMA
LEO.
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao kazi kuhusu masuala ya
wafanyakazi, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Januari 17,
2026.
...
6 minutes ago
0 Comments