Tangazo: Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar, inawaomba wananchi wote kuchukua tahadhari juu ya upepo mkali na mawimbi makubwa ya bahari yapatayo mita mbili yanayoweza kutokea katika maeneo mbalimbali ya visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia siku ya Ijumaa tarehe 20 Julai hadi siku ya Jumatatu tarehe 23 Julai 2018. Tushirikiane kwa pamoja kupunguza athari za majanga yanayoweza kutokea.
[20/07, 06:45] +255 777 419 231: Aidha, kamisheni inawaomba wananchi, kuepuka kukaa chini ya miti mirefu pamoja kuwa waangalifu juu ya matumizi ya vyombo vya uvuvi na usafiri baharini.
Biashara : Tanzania Yaibuka Mshindi wa Jumla Maonesho ya Wajasiriamali wa
Afrika Mashariki
-
Na: OWM (KVAU) – Nairobi
JAMHURI ya Muungano wa Tanzania imeibuka mshindi wa jumla kwenye maonesho
ya 25 ya Wajasiliamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment