Tangazo: Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar, inawaomba wananchi wote kuchukua tahadhari juu ya upepo mkali na mawimbi makubwa ya bahari yapatayo mita mbili yanayoweza kutokea katika maeneo mbalimbali ya visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia siku ya Ijumaa tarehe 20 Julai hadi siku ya Jumatatu tarehe 23 Julai 2018. Tushirikiane kwa pamoja kupunguza athari za majanga yanayoweza kutokea.
[20/07, 06:45] +255 777 419 231: Aidha, kamisheni inawaomba wananchi, kuepuka kukaa chini ya miti mirefu pamoja kuwa waangalifu juu ya matumizi ya vyombo vya uvuvi na usafiri baharini.
ZAIDI YA VITONGOJI 2,350 MKOANI MTWARA VYAFIKISHIWA UMEME
-
-Wananchi wampongeza Rais Samia
-Waahidi kuwa walinzi wa miundombinu ya umeme
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umefikisha umeme katika vitongoji 2,354
kat...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment