Maandhari ya Daraja la Juu katika Barabara ya Tazara kama linavyoonekana picha likiendelea na ujenzi wake huo linalojengwa na Serikali ya Muungano wa Tanzania katika eneo hilo la Tazara jijini Dar es Salaam likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WANANCHI WAENDELEA KUELIMISHWA UFUGAJI WA NYUKI
-
Wananchi wanaendelea kuelimishwa kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa
kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani
kubwa so...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment