Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Mhe Hassan Khatib Hassan akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Kitogani(Hawapo Pichani) wakati wa kutoa mkono wa shukrani kwa wanakijiji wa Kitogani kwa kutoa Ushirikiano baada ya kuamua kutoa maeneo yao ya makaazi kwa ajili ya kujengwa kiwanja cha Michezo. Kiwanja cha Kitogani ni moja ya viwanja ambavyo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk Ali Mohamed Shein aliahidi wakati wa Kampeni ikiwa ni utekelezaji wa iIani ya Uchaguzi CCM kuhakikisha anawapatia wananchi maendeleo ikiwemo viwanja vya michezo.( Kulia) Katibu Mkuu Wizara Vijana, Utamaduni Sanaa na Michezo, Omar Hassan Omar
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment