Habari za Punde

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Yatoa Shukran Kwa Wananchi wa Kijiji cha Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja Wilaya ya Kusini Unguja.

Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Mhe Hassan Khatib Hassan akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Kitogani(Hawapo Pichani) wakati wa kutoa mkono wa shukrani kwa wanakijiji wa Kitogani kwa kutoa Ushirikiano baada ya  kuamua kutoa maeneo yao ya makaazi  kwa ajili ya kujengwa kiwanja cha Michezo. Kiwanja cha Kitogani ni moja ya viwanja ambavyo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk Ali Mohamed Shein aliahidi wakati wa Kampeni ikiwa ni utekelezaji wa  iIani ya Uchaguzi CCM  kuhakikisha anawapatia wananchi maendeleo ikiwemo viwanja vya michezo.( Kulia) Katibu Mkuu Wizara Vijana, Utamaduni Sanaa na Michezo, Omar Hassan Omar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.