Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Dkt. Khalid Mohammed Salum, akizungumza na Maofisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, lipotembelea eneo linalotarajiwa kujengwa Maduka ya Kisasa katika eneo hilo la michezani Zanzibar. Ujenzi huo unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni baada ya kukamilika kwa mchakato wa kumpata mjenzi, kulia Kaimu Menaja Miradi na Uwezeshaji ZSSF Ndg. Abdulazizi Abrahaman Iddi, akitowa maelezo ya kitaalamu ya ujenzi wa majengo ya maduka katika eneo hilo, wakati wa ziara ya Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar.
Kaimu Menaja Miradi na Uwezeshaji ZSSF Ndg. Abdulazizi Abrahaman Iddi, akitowa maelezo ya kitaalamu ya ujenzi wa majengo ya maduka ya kisasa katika eneo hilo, wakati wa ziara ya Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar. Mhe. Dkt. Khalid Mohammed Salum
PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA MKOA WA SINGIDA
-
Na Mwandishi Wetu
Puma Energy Tanzania imezindua rasmi kituo chake kipya cha mafuta katika
Mkoa wa Singida, hatua inayoonyesha dhamira yake ya kupanua up...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment