Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Dkt. Khalid Mohammed Salum, akizungumza na Maofisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, lipotembelea eneo linalotarajiwa kujengwa Maduka ya Kisasa katika eneo hilo la michezani Zanzibar. Ujenzi huo unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni baada ya kukamilika kwa mchakato wa kumpata mjenzi, kulia Kaimu Menaja Miradi na Uwezeshaji ZSSF Ndg. Abdulazizi Abrahaman Iddi, akitowa maelezo ya kitaalamu ya ujenzi wa majengo ya maduka katika eneo hilo, wakati wa ziara ya Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar.
Kaimu Menaja Miradi na Uwezeshaji ZSSF Ndg. Abdulazizi Abrahaman Iddi, akitowa maelezo ya kitaalamu ya ujenzi wa majengo ya maduka ya kisasa katika eneo hilo, wakati wa ziara ya Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar. Mhe. Dkt. Khalid Mohammed Salum
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment