Wafanyakazi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF wakiwa katika zoezi la kuhakiki Wanachama Wake wanaopokelea Mafao yao ya Pensheni kupitia ZSSF, likiendelea katika Makao Makuu ya ZSSF Kilimani Zanzibar na katika Matawi yake Kisiwani Pemba na Jijini Dar es Salaam, wanafanyia Uhakiki katika Ofisi ya Shughuli za SMZ ilioko Magogoni Jijini Dar es Salaam.
RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66 KUANZA UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA
ILIYOHARIBIKA
-
Na Mathias Canal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya bar...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment