Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mkono wa Amani na
Masista wa kanisa katoriki na waumini wengine wakati wa Ibada ya jumapili ya
Maadhimisho ya sherehe ya Familia Takatifu ya Yesu iliyofanyika katika Kanisa
la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Desemba 30,2018.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
watoto wa kanisa katoriki wakati wa Ibada ya jumapili ya Maadhimisho ya sherehe
ya Familia Takatifu ya Yesu iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Petro
Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kanisani
kwa ajili ya kushiriki Misa ya Maadhimisho ya sherehe ya Familia Takatifu ya Yesu
iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar
es Salaam.Desemba
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Paroko msaidizi Padre Asis Mendokta mara baada ya kuungana na waumini wengine
katika Misa ya Maadhimisho ya sherehe ya Familia Takatifu ya Yesu iliyofanyika katika
Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment