Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mchangani Zanzibar Sheikh Ali Hemed Jabir (ALI ANI)kulia akiomba dua katika kaburi la Aliekuwa Rais wa Awamu ya Pili sheikh Aboud Jumbe Mwinyi katika Dua maalum ya kuwaombea mashujaa iliofanyika migombani Zanzibar.
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kaabi akiongoza Viongozi wa Serikali ndugu na Jamaa katika Dua maalum ya kuwaombea Mashujaa ambapo imeanza kwa aliekuwa Rais wa Zanzibar awamu ya Pili Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi hadi kufikia kilele chake siku ya 07/04/2019 Kisiwandui Zanzibar,
Baadhi ya waheshimiwa na wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Dua maalum ya kuwaombea Mashujaa ambapo imeanza kwa aliekuwa Rais wa Zanzibar awamu ya Pili Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi hadi kufikia kilele chake siku ya Mashujaa 07/04/2019 Kisiwandui Zanzibar,
Baadhi ya waheshimiwa na wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Dua maalum ya kuwaombea Mashujaa ambapo imeanza kwa aliekuwa Rais wa Zanzibar awamu ya Pili Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi hadi kufikia kilele chake siku ya Mashujaa 07/04/2019 Kisiwandui Zanzibar.
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kaabi akiongoza Viongozi wa Serikali ndugu na Jamaa katika Dua maalum ya kuwaombea Mashujaa ambapo imeanza kwa aliekuwa Rais wa Zanzibar awamu ya Pili Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi hadi kufikia kilele chake siku ya 07/04/2019 Kisiwandui Zanzibar,
Baadhi ya waheshimiwa na wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Dua maalum ya kuwaombea Mashujaa ambapo imeanza kwa aliekuwa Rais wa Zanzibar awamu ya Pili Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi hadi kufikia kilele chake siku ya Mashujaa 07/04/2019 Kisiwandui Zanzibar,
Baadhi ya waheshimiwa na wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Dua maalum ya kuwaombea Mashujaa ambapo imeanza kwa aliekuwa Rais wa Zanzibar awamu ya Pili Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi hadi kufikia kilele chake siku ya Mashujaa 07/04/2019 Kisiwandui Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi mbalimbali waliofika katika Dua maalum ya kuwaombea Mashujaa iliofanyika Migombani kwa aliekuwa Rais wa awamu ya Pili Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi Zanzibar.
No comments:
Post a Comment