Habari za Punde

Kampuni ya Mawasiliano ya ZANTEL Yavutia Wengi Maonesho ya UCSAF Jijini Dodoma

Kampuni ya mawasiliano ya Zantel ilikuwa miongoni mwa makampuni ya mawasiliano nchini ambayo yalishiriki katika maadhimisho ya miaka 10 ya UCSAF yaliyofanyika jijiji Dodoma hivi karibuni ambayo yalifungwa rasmi ya Waziri Mkuu ,Mh.Kassim Majaliwa. 
Mkuu wa wa kitengo cha Teknolojia  wa Zantel, John Sicilima akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu,Mh.Kassim Majaliwa wakati alipotembelea banda la maonyesho ya Zantel (kushoto) ni Afisa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Rukia Mtingwa.

Mkuu wa wa kitengo cha Teknolojia  wa Zantel, John Sicilima akipokea cheti cha kushiriki kutoka kwa Mh.Waziri Mkuu,KassimMajaliwa ,kwa niaba ya kampuni

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.