Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi Aifariji na Kutowa Mkono wa Pole Kwa Familia ya Marehemu Juma Ali Juma Kijichi Zanzibar.

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifika Kijichi nyumbani kwa Familia ya aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Marehemu Juma Ali Juma kuifariji Familia yake kufuatia msiba ya Jamaa yao mpendwa.
Balozi Seif akijumika pamoja na Viongozi na Wananchi mbali mbali katika kumuombea dua Marehemu Juma Ali Juma aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Rufaa Muhimbili Mjini Dar es salaam akipatia matibabu baada ya kupata ajali ya Gari.
Picha na – OMPR – ZNZ.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.