Habari za Punde

Sherehe za Elimu Bila Malipo Kufanyika Kisiwani Pemba.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya amali Zanzibar Riziki Pembe Juma akizungumza na Wanafunzi na Viongozi  waliofika  katika sherehe ya Elimu bila ya malipo Uwanja wa Gombani  Kisiwani Pemba.
Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo Zanzibar  Balozi Ali Abeid Karume  akimkaribisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Riziki Pembe Juma  walipofika katika Sherehe za Elimu bila malipo Uwanja wa Gombani  Kisiwani Pemba.
Afisa Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba  Mohammed Nassor Salim  akitoa shukurani kwa washiriki wa Sherehe za Elimu bila Malipo  katika Kiwanja cha Gombani Kisiwani Pemba.
Wanafunzi wakifanya zoezi mara walipowasili katika  Sherehe  Gombani Kisiwani Pemba.
Picha na Miza Othman - Maelezo  Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.