Habari za Punde

Michuano ya Mpira wa Kikapu Kombe la Karume Cup Uwanja wa Mao Zedong Kati ya Osolo na Nyuki Imeshinda Mchezo Huo.

Mchezaji wa Timu ya Osolo akiwa na mpira akimpita mchezaji wa Timu ya Nyuki wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Karume Cup inayofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Nyuki imeshinda mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.