Mchezaji wa Timu ya Osolo akiwa na mpira akimpita mchezaji wa Timu ya Nyuki wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Karume Cup inayofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Nyuki imeshinda mchezo huo.
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment