Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi Amefunga Maonesho ya Kilimo ya Nanenane Chamanangwe Pemba

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, akiwasili katika viwanja vya maonesho ya Kilimo ya Nanenane Chamanangwe kwa ajili ya kuyafunga maonesho hayo 
MAKAAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiangalia moja ya vitabu vya SADC wakati alipotembelea banda la Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki, huko katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akipata maelezo kutoka kwa mmoja ya wauzaji wa mbegu za kilimo, madawa na mbolea katika maonyesho ya maadhimisho ya siku ya wakulima Nanenane, huko katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiuliza swali kwa watendaji wa Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki Tanzania, wakati alipotembelea banda hilo huko katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza wakati wa hafla ya ufungaji wa maonyesho ya siku ya wakulima nanenane, yaliofanyika  katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi cheti cha ushiriki wa Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar katika maonyesho ya Nanenane, afisa Kodi Zainab Haroub Mohamed, huko katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete
WAZIRI wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mmanga mjengo Mjawiri, akizungumza katika maonyesho ya Siku ya Wakulima Nanenane, huko katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.