Habari za Punde

Waandishi wa Habari Zanzibar Wapatiwa Mafunzo Kuhusiana na Dira ya Mwaka 2020.

MKURUGENZI Idara ya Mawasiliano Ikulu, Hassan Khatib (katikati), akifungua mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusiana na Tathmini ya Dira ya mwaka 2020, ilioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar, chini ya Idara ya  Mawasiliano Ikulu, hafla iliofanyika  ukumbi wa sanaa Rahaleo Mjini Unguja.
Mtoa mada Bi. Jamila Abass, akiwasilisha wakati wa mafunzo,  kwa waandishi wa habari kuhusiana na Tathmini ya Dira ya mwaka 2020, ilioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar, chini ya Idara ya  Mawasiliano Ikulu, hafla iliofanyika  ukumbi wa sanaa Rahaleo Mjini Unguja
WASHIRIKI wa  mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusiana na Tathmini ya Dira ya mwaka 2020, ilioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar, chini ya Idara ya  Mawasiliano Ikulu, hafla iliofanyika  ukumbi wa sanaa Rahaleo Mjini Unguja.
WASHIRIKI wa  mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusiana na Tathmini ya Dira ya mwaka 2020, ilioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar, chini ya Idara ya  Mawasiliano Ikulu, hafla iliofanyika  ukumbi wa sanaa Rahaleo Mjini Unguja.
Mtowa Mada katika mafunzo kwa waandishi wa habari mbalimbali kuhusiana na Tathmini ya Dira ya mwaka 2020, Bi.Jamila Abass (kulia), akijibu baadhi ya michango iliowasilishwa wakati wa mafunzo hayo kwa waandishi wa habari Zanzibar yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Jijini Zanzibar na kulia Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Zanzibar Ndg. Hassan Khatib Hassan.
 Muandishi wa habari wa Redio Jamii  Tumbatu  Ndg. Makame Ngwali  akichangia mada wakati wa mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusiana na Tathmini ya Dira ya mwaka 2020, ilioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar, chini ya Idara ya  Mawasiliano Ikulu, hafla iliofanyika  ukumbi wa sanaa Rahaleo Mjini Unguja.
Picha na Abdalla Omar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.