MAKAMU wa Pili wa
Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla, akipata maelezo juu ya ufanyaji kazi wa
mashine ya X-Ray kutoka kwa Dk Ali Khamis, wakati alipofanya ziara ya
kutembelea hospitali ya Micheweni, wakati wa ziara yake ya siku tatu Kisiwani Pemba.
MAKAMU wa Pili wa
Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla, akimsikiliza mmoja ya wafanyakazi wa
chumba cha Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni, juu ya kudai fedha zao za
muda wa zaira kwa muda wa miaka miwili na nusu sasa hawajalipwa na uongozi wa
Wizara ya afya, wakati wa ziara yake ya siku tatu Kisiwani Pemba
DAKTARI dhamana wa
Hospitali ya Micheweni Dk Mbwana Shoka Salim, akimpatia maelezo Makamu wa Pili
wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla, juu ya ufanyajai kazi wa mashine ya
kuchomea takataka katika hospitali ya Micheweni, , wakati wa ziara yake ya siku
tatu Kisiwani Pemba
MAKAMU wa Pili wa
Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na watendaji wa Wizara ya
afya na uongozi wa Hospitali ya Micheweni, baada ya kumaliza ziara yake ya
kukagua maendeleo ya hospitali hiyo, , wakati wa ziara yake ya siku tatu
Kisiwani Pemba.
No comments:
Post a Comment