Mkurugenzi Tiba Wizara Ya Afya Juma Salum Mbwana akizungumza machache na kumkaribisha Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur kukabidhi vifaa mbali mbali vya matumizi ya Hospitali hafla iliyofanyika Hospital ya Wilaya Kivunge Zanzibar .
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur akizungumza machache kabla ya kukabidhi vifaa mbali mbali vya matumizi ya Hospitali hafla iliyofanyika Hospital ya Wilaya Kivunge Zanzibar.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur akimkabidhi Mkurugenzi Tiba Wizara Ya Afya Juma Salum Mbwana televisheni kwaajili ya watu wanaofika hospitalini hapo kukaa na wagonjwa wao hafla iliyofanyika Hospitali ya Wilaya Kivunge Zanzibar.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur akimkabidhi Mkurugenzi Tiba Wizara Ya Afya Juma Salum Mbwana kitanda cha mazoezi kwa ajili ya wagonjwa huko Hospitali ya Wilaya Kivunge Zanzibar. .
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur akimkabidhi Mkurugenzi Tiba Wizara Ya Afya Juma Salum Mbwana kitanda na godoro kwa ajili ya wagonjwa ambao watalazwa katika jengo la mama na mtoto huko Hospitali ya Wilaya Kivunge Zanzibar.
Mkurugenzi Tiba Wizara Ya Afya Juma Salum Mbwana aahidi kuvitunza vifaa vilivyotolewa msaada na Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur na kuvitumia ipaswavyo katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Hospital ya Wilaya Kivunge Zanzibar.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur akisoma taarifa fupi ianyohusiana na vifaa mbali mbali alivyomkabidhi Mkurugenzi Tiba Wizara Ya Afya Juma Salum Mbwana huko Hospitali ya Wilaya Kivunge Zanzibar.
Mganga Mkuu Msaidizi Hospitali ya Wilaya Kivunge Juma Ali Makame akitoa neno la shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wa Hospitali ya Wilaya Kivunge jengo la mama na mtoto mara baada ya kupokea msaada wa vifaa vya matumizi ya hospitali kutoka kwa Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur
Mganga Mkuu Msaidizi Hospitali ya Wilaya Kivunge Juma Ali Makame akimtembeza Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur maeneo mbalimbali ya jengo la mama na mtoto huko Hospitali ya Wilaya Kivunge,ikiwemo chumba cha upasuaji kwa mama wajawazito .
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur akiwajuulia hali mama mbalimbali ambao walifika hospital ya Wilaya Kivunge kwa ajili ya kupata huduma ya kujifungua .
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Sada Mansur akisikiliza maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi Tiba Wizara Ya Afya Juma Salum Mbwana wakati alipokuwa akitembelea wodi mbali mbali katika jengo la mama na mtoto huko Hospital ya Wilaya Kivunge Zanzibar.
No comments:
Post a Comment