RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika Uwanja wa Jamuhuri Jijini
Dodoma kuhudhuria hafla ya Kitaifa ya kuuaga mwili wa Hayati John Pombe
Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais
wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman alipowasili katika jukwaa la Viongozi
katika Uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma kuhudhuria hafla ya Kitaifa ya kuuaga
mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania
JWTZ wakiwa wamebeka jeneza la mwili wa
Hayati John Pombe Magufuli wakiwa katika Uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma wakiupeleka katika eneo maalum lililoandaliwa
kwa ajili ya kuuaga Kitaifa.
MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania
JWTZ wakiwa wamebeka jeneza la mwili wa
Hayati John Pombe Magufuli wakiwa katika Uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma wakiupeleka katika eneo maalum lililoandaliwa
kwa ajili ya kuuaga Kitaifa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akitowa salamu za mwisho za heshima kwa
Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania, wakati wa kuuaga mwili wa marehemu Kitaifa katika Uwanja wa Jamuhuri
Jijini Dodoma
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akitowa salamu za mwisho kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa hafla ya
Kitaifa ya kuuaga Mwili wa marehemu iliofanyika katika Uwanja wa Jamuhuri
Jijini Dodoma
RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan,Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Venance Mabeyo na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
wakiwa wamesimama wakati Mwili wa Hayati Dkt.John Pombe Magufuli ukiwasili
katika Uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma kwa ajil ya Hafla ya Kitaifa ya kumuaga
marehemu
MJANE wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Mama
Janeth Magifuli akitowa heshima za mwisho kwa Marehemu wakati wa hafla ya Kitaifa
ya kuuaga mwili wa marehemu katika Uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma.
RAIS wa Jamuhuri ya Watu wa Comoro Mhe. Azali
Asoumani na Mkewe wakitowa heshima za mwisho kwa Hayati Dkt. John Pombe
Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa hafla ya
Kitaifa ya kumuaga marehemu katika Uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment