Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ujenzi wa Mradi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Nyerere wilayani Rufiji, Aprili 10, 2021. Kulia ni Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato na kushoto ni Mhandisi Mkazi wa Mradi, John Mageni
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wajenzi wakati alipokagua kazi ya ujenzi wa Mradi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Nyerere wilayani Rufiji, Aprili 10, 2021. Kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wajenzi wakati alipokagua kazi ya ujenzi wa Mradi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Nyerere wilayani Rufiji, Aprili 10, 2021. Kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment