Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),
Mhe. Hamad Hassan Chande akiwa katika ziara ya kukagua kiwanda cha A TO Z cha jijini
Arusha alipofanya ziara ya kukagua uzingatiaji wa Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),
Mhe. Hamad Hassan Chande (watatu kushoto)
akimsikiliza mtaalamu wa maabara katika kiwanda cha A TO Z cha jijini Arusha
alipofanya ziara ya kukagua uzingatiaji wa Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Hamad Hassan Chande akizungumza na wataalamu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kaskazini alipowasili jijini humo kwa ziara ya kikazi.
Naibu
Waziri OfisiyaMakamuwaRais (MuunganonaMazingira), Mhe. Hamad Hassan ChandeametoamaelekezohayoJuni
12, 2021 alipofanyaziarayakukaguakiwandahichokilichopojijini Arusha.
ChandealibainikuwaripotiinayoandaliwanawataalamuwamaabarakiwandanihapohuishiakuwasilishakwauongoziwakiwandapekeebilakuishirikishaSerikaliiliwawafanyietathmini.
“Nimetembeleakiwandahikinanimefikakulemaabaranimebainichangamotohasakatikaripotizenuzinaishiahumundani,
nisawanakufanyamtihanihalafuukajisahihishiamwenyewehuwezikufelilazimampelekeripoti
NEMC wawatahmini,” alisema.
NaibuwazirihuyoalisemaipohajayakiwandahichokuwashirikishawataalamukutokaWakalawaMkemiaMkuuilikuwezakupatauhakikawamatokeoyavipimokamanisahihi.
Pia
aliuelekezauongoziwakiwandahichokutanuamtambowakutibumajitakaakibainishakuwanimdogoukilinganishaukubwawakiwandahaliinayowezakusababishakushindwakutoshelezamahitaji.
HatahivyoChandealipongezakiwanda
cha A TO Z
kwakushirikikatikautunzajiwamazingirakutokananaukusanyajinaurejelezajiwa taka
unaofanywakiwandanihapo.
Alisemakuwahatuayakukusanya
taka mbalimbalihusaidiakuwekaJiji la Arusha nanchikwaujumlakatikahaliyausafinakutunzamazingiranakuwatakawananchiwaendeleekutunzamazingirakwanindiouhai.
No comments:
Post a Comment