Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Khamis Hamza Chilo akilikagua Basi la Kampuni ya Classic lililopata ajali katika eneo la Buyubi mkoani Shinyanga likitoka Kampala Uganda kwenda jijini Dar es Salaam ambapo watu wanne wanaripotiwa kufariki.Ziara hiyo imefanyika usiku wa kuamkia leo.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Awaapisha Wajumbe Waliuoteuliwa na
Mhe.Rais Dk.Hussein Mwinyi Hivi Karibuni
-
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid akimuapisha
Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa kuwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
hafl...
41 minutes ago

No comments:
Post a Comment