Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam, leo Julai 13,2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makala alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam, leo Julai 13,2021. (Picha na Ikulu)
KAMPUNI YA BARRON GROUP WANAOTENGENEZA KIATU CHA SHULE WAJITAMBULISHA KWA SPIKA WA BUNGE DK. TULIA
-
* Na Mwandishi Wetu,Dodoma*
*Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson
amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kampuni...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment