MRATIB wa Mradi wa Uhamasishaji wa upatikanaji wa
haki za umiliki wa Ardhi kwa Wanawake Pemba, kutoka Jumuiya ya PECEP Juma Said,
akizungumza na wajumbe wa mabaraza ya Ardhi ya Wanawake Pemba, ambao watasaidia
wananchi katika kutatua migogoro ya ardhi kwa wanawake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya wajumbe wa mabaraza ya Ardhi ya Wanawake
Pemba, wakiwa katika mafunzo maalumu juu ya sifa za msuluhishi mzuri wa
migogoro, yaliyotolewa na Jumuiya ya PECEO Pemba kupitia mradi wa Uhamasishaji
wa upatikanaji wa haki za umiliki wa Ardhi kwa Wanawake, chini ya ufadhili wa The
Foundation for civil society.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA kutoka Ofisi ya Mufti mkuu wa Zanzibar ofisi
ya Pemba Sheikh Said Ahmad, akiwasilisha mada juu ya sifa za msuluhishi mzuri
wa migogoro, kwa wajumbe wa mabaraza ya Ardhi ya Wanawake Pemba, mafunzo
yaliyoandalia na Jumuiya ya PECEO chini ya Ufadhili wa The Foundation for civil
society.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment