KAMISHNA wa Bajeti Ofisi ya Rais Fedha na
Mipango Zanzibar Bi. Saumu Khatib Haji (mwenye miwani) akiwafanyika uhakiki baadhi
ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja walioekeza fedha zao katika Kampuni ya
Masterlife, iliyokuwa ikifanyakazi kinyume cha Sheria, ambapo Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, aliahidi kurejeshewa
fedha zao. Zoezi hilo kwa awamu ya kwanza limeaza katika Mkoa wa Kaskazini
Unguja katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkotoni leo 8-12-202, litakuwa
kwa siku tatu hadi 10-12-2021
KAMISHNA wa Bajeti Ofisi ya Rais Fedha na
Mipango Zanzibar Bi. Saumu Khatib Haji (mwenye miwani) akiwafanyika uhakiki baadhi
ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja walioekeza fedha zao katika Kampuni ya
Masterlife, iliyokuwa ikifanyakazi kinyume cha Sheria, ambapo Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, aliahidi kurejeshewa
fedha zao. Zoezi hilo kwa awamu ya kwanza limeaza katika Mkoa wa Kaskazini
Unguja katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkotoni leo 8-12-202, litakuwa
kwa siku tatu hadi 10-12-2021
MAOFISA kutoka Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
Zanzibar. wakiendelea na zoezi la kumfanyia uhakiki Mwananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja ambae aliweka fedha zake katika Kampuni ya Masterlife,
iliyokuwa ikifanya kazi kinyume cha sheria, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, aliahidi kurejeshewa Wananchi fedha zao,
zoezi hilo kwa awamu ya kwanza limeaza leo 8-12-2021 na kumalizika 10-12-202,
katika Mkoa wa Kaskazini Unguja
MAOFISA kutoka Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
Zanzibar. wakiendelea na zoezi la kumfanyia uhakiki Mwananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja ambae aliweka fedha zake katika Kampuni ya Masterlife,
iliyokuwa ikifanya kazi kinyume cha sheria, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, aliahidi kurejeshewa Wananchi fedha zao,
zoezi hilo kwa awamu ya kwanza limeaza leo 8-12-2021 na kumalizika 10-12-202,
katika Mkoa wa Kaskazini Unguja
MWANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja akihesabu
fedha zake baada ya kukabidhiwa na Maofisa wa kutoka Ofisi ya Rais Fedha na
Mipango Zanzibar.Ndg.Sabri Udi (mwenye fulana nyeusi) na kushoto kwake) Ndg.
Issa Salum , zoezi hilo la kuwarejeshea Fedha zao Wananchi hao waliowekeza
katika Kampuni ya Masterlife kwa awamu ya Kwanza wameaza kulipwa walioweleza shilingi
laki moja hadi milioni moja, limeaza leo kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja,
8-12-2021 hadi 10-12-2021
MWANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja akihesabu
fedha zake baada ya kukabidhiwa na Maofisa wa kutoka Ofisi ya Rais Fedha na
Mipango Zanzibar.Ndg.Sabri Udi (mwenye fulana nyeusi) na kushoto kwake) Ndg.
Issa Salum , zoezi hilo la kuwarejeshea Fedha zao Wananchi hao waliowekeza
katika Kampuni ya Masterlife kwa awamu ya Kwanza wameaza kulipwa walioweleza shilingi
laki moja hadi milioni moja, limeaza leo kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja,
8-12-2021 hadi 10-12-2021
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed
Mahmoud akisimamia zoezi la kurejeshewa Fedha Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja,waliowekeza katika Kampuni ya Masterlife iliyokuwa ikifanyakazi kinyume
cha sheria, zoezi hilo lililofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni
Unguja leo 8-12-202 hadi 10-12-2021 kwa awamu ya kwanza kwa Wananchi walioekeza
kuazia shilingi laki moja hadi milioni moja
No comments:
Post a Comment