Innallilahi Waina ilayhi Rajiuun. Mfanyakazi mwenzetu Ndg Jabir Ahmed Maulid wa Idara ya Diaspora amefariki jana jioni na maziko yake yatafanyika leo 27-3-2022 baada ya sala ya Adhuhuri Msikiti wa Mtendeni Wilaya ya Mjini Unguja na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Unguja.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment