Innallilahi Waina ilayhi Rajiuun. Mfanyakazi mwenzetu Ndg Jabir Ahmed Maulid wa Idara ya Diaspora amefariki jana jioni na maziko yake yatafanyika leo 27-3-2022 baada ya sala ya Adhuhuri Msikiti wa Mtendeni Wilaya ya Mjini Unguja na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Unguja.
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AKIJIBU MASWALI BUGENI
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali Bugeni jijini Dodoma, Februari
2, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizung...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment