RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Mwanasiasa na mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar Mhe. Mohammed
Raza Daramsi alipofika nyumbani kwake Kibweni Wilaya ya Magharibi “A” Unguja
kumtembelea na kumjulia hali yake leo 28-8-2022
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakizungumza na Mwanasiasa na Mfanyabiashara
maarufu wa Zanzibar Mhe. Mohammed Raza Daramsi,
walipofika nyumbani kwake Kibweni Wilaya ya Magharibi “A” Unguja kumtembelea na
kumjulia hali yake leo 28-8-2022 na (kushoto kwa Rais) mtoto wake Hassan
Mohammed Raza.
No comments:
Post a Comment