MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kubadilishana mawazo na Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, wakiwa katika ukumbi wa White
House Dodoma wakihudhuria Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,
kilichofanyika leo 27-9-2022 katika ukumbi huo
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakisoma makabrasha kabla ya
kuaza kwa Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichoongozwa na
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kilichofanyika katika ukumbi wa White House
Jijini Dodoma leo.27-9-2022
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa White House Dodoma akihudhuria
Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika leo 27-9-2022
katika ukumbi huo na (kulia) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa White House Dodoma akihudhuria
Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika leo 27-9-2022
katika ukumbi huo na (kulia) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla,Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Spika wa Bunge la Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson,
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa pia ni Spika wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akiwa
katika ukumbi wa White House Dodoma kuongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu
ya CCM Taifa kilichofanyika leo 27-9-2022 na (kulia ) Makamu Mwenyekiti wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika katika
ukumbi wa mikutano wa White House Jijini Dodoma leo 27-9-2022, na (kulia)
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae
pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika katika
ukumbi wa mikutano wa White House Jijini Dodoma leo 27-9-2022
WAJUMBE wa Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya
CCM Taifa wa kwanza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae
pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla Mjumbe wa Kamati
Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Spika wa Bunge la Tanzania
Mhe.Dkt Tulia Ackson na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Spika
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid, wakifuatilia ufunguzi
wa Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichoongozwa na Mwenyekiti
wa CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu
Hassan
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa White House Jijini Dodoma leo 27-9-2022
No comments:
Post a Comment