Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza aliyefariki tarehe 08 Septemba, 2022. Rais Samia amesaini kitabu hicho katika jengo la Lancaster (Lancaster House), London, Uingereza tarehe 18 Septemba, 2022. Picha na Jonathan Hordle/PA Media Assignments
FCC YAWAVUTIA WAWEKEZAJI KWENYE MAONESHO YA IATF NCHINI ALGERIA
-
Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia
uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika (Intra
African T...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment