Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza aliyefariki tarehe 08 Septemba, 2022. Rais Samia amesaini kitabu hicho katika jengo la Lancaster (Lancaster House), London, Uingereza tarehe 18 Septemba, 2022. Picha na Jonathan Hordle/PA Media Assignments
Dkt. Mwinyi Aagiza Elimu ya Branding Kuwafikia Watanzania Wote
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali
Mwinyi, amesema kuwa katika kipindi hiki cha mabadiliko, Serikali
inaendelea kufany...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment