Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) alipofika Hotel ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi leo kufungua kongamano linalohusu maradhi ya Figo.[Picha na Ikulu] 24/11/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipofuatana na Mwenyekiti wa Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) Dr.Onesmo Kisanga (katikati) na Waziri wa Afya Mhe.Nassor Ahmed Mazrui (kushoto) mara alipowasili katika Hotel ya Verde Mtoni,Mkoa Mjini Magharibi kufungua kongamano la nane la Chama hicho lililofanyika leo.[Picha na Ikulu] 24/11/2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam Augustino Mbunda (kushoto) alipokuwa akiangalia vifaa mbali mbali vinavyotumika katika kutibu matatizo ya Figo mara alipowasili katika Hotel ya Verde Mtoni,Mkoa Mjini Magharibi kufungua kongamano la nane la Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) lililofanyika leo.[Picha na Ikulu] 24/11/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akiangalia mashine maalum inayofanya uchunguzi wa matatizo ya magonjwa ya Figo kabla ya kufungua kongamano la nane la Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) lililofanyika leo Hotel ya Verde Mtoni,Mkoa Mjini Magharibi (kushoto) Mwenyekiti wa Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) Dr.Onesmo Kisanga na Waziri wa Afya Mhe.Nassor Ahmed Mazrui (kulia kwa Rais).[Picha na Ikulu] 24/11/2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Taasisi ya Generics ya Dar es Salaam inayojishuhulisha na uuzaji wa dawa za figo Bw.Hirak Kumar Sen (katikati) alipotembelea mabanda ya maonesho ya taasisi mbali mbali zinazohusika na uuzaji wa dawa za maradhi hayo kabla kufungua kongamano la nane la Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) lililofanyika leo.[Picha na Ikulu] 24/11/2022.
Baadhi ya Wataalam wanaoshuhulika na maradhi ya Figo wakiwa katika kongamano la nane (8) la Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni,Mkoa Mjini Magharibi leo. [Picha na Ikulu] 24/11/2022.
Mwenyekiti wa Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) Dr.Onesmo Kisanga alipokuwa akitoa maelezo ya kina kuhusu Chama chake mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa kongamano la nane la Chama hicho lililofanyika leo Hotel ya Verde Mtoni,Mkoa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 24/11/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa kufungua kongamano la nane (8) la Chamacha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) lililofanyika leo katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni,Mkoa Mjini Magharibi (kulia) Mwenyekiti wa Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) Dr.Onesmo Kisanga,(wa pili kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh na Waziri wa Afya Mhe.Nassor Ahmed Mazrui [Picha na Ikulu] 24/11/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania (NESOT) Dr.Onesmo Kisanga katika hafla ya ufunguzi Kongamano la nane (8) la Chama hicho lililofanyika leo katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni,Mkoa Mjini Magharibi.[Picha na Ikulu] 24/11/2022.
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Dar es Salaam. 28-10-2025 Tanzania Bloggers Network (TBN) inatoa pongezi za dhati kwa Watanzania wote, wagombea, vyama vya siasa, Tume Huru ...
-
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) JOB OPPORTUNITIES The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public University in...
-
Mtaalamu wa lugha ya Alama Masika Khamis Ali akitoma maelezo kwa Wananchi wa makundi maalumu wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kampeni wa Cha...
-
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Hamad Rashid Mohamed akitowa taarifa ya mwenendo wa maradhi ya Corona Nchini ya kuthibitika kwac Wagonjwa 23 ...
-
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Njombe Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt. John Jingu, amewataka...
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe.Hamad Rashid Mohammed akisalimia na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanj...
-
Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Bernard Marce...
Home
HABARI
MATUKIO.
Rais Dk Hussein Mwinyi mgeni rasmi kongamano la nane (8) la Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania
Rais Dk Hussein Mwinyi mgeni rasmi kongamano la nane (8) la Chama cha Wataalam wa magonjwa ya Figo Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) M...5 days ago
-
Elimu : Bajeti za Elimu Zisipuuzwe wakati wa misukosuko ya Kiuchumi na Kisiasa Duniani - Kikwete na Malala Waonya. - Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Malala Yousafzai, wameonya juu ya mwenendo hatarishi duniani wa kupunguza au ku...2 weeks ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...

No comments:
Post a Comment