Mkutano wa kumi wa baraza la kumi la wawakilishi umeanza leo
tarehe 15/02/2023, pamoja na maswali na majibu pia kumewasilishwa hotuba
ya ripoti ya kamati ya kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya mwaka
2022/2023 pamoja na kuchangiwa na wajumbe wa baraza hilo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment