Habari za Punde

Mkutano wa kumi wa baraza la kumi la wawakilishi umeanza leo tarehe 15/02/2023

Mkutano wa kumi wa baraza la kumi la wawakilishi umeanza leo tarehe 15/02/2023, pamoja na maswali na majibu pia  kumewasilishwa hotuba ya ripoti ya kamati ya kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya mwaka 2022/2023 pamoja na kuchangiwa na wajumbe wa baraza hilo.





 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.