Mkutano wa kumi wa baraza la kumi la wawakilishi umeanza leo
tarehe 15/02/2023, pamoja na maswali na majibu pia kumewasilishwa hotuba
ya ripoti ya kamati ya kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya mwaka
2022/2023 pamoja na kuchangiwa na wajumbe wa baraza hilo.
Dkt.Biteko:VETA inajukumu la kuibadilisha Tanzania kwa vijana kupata ufundi
stadi
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ina uwezo na j...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment