Mkutano wa kumi wa baraza la kumi la wawakilishi umeanza leo
tarehe 15/02/2023, pamoja na maswali na majibu pia kumewasilishwa hotuba
ya ripoti ya kamati ya kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya mwaka
2022/2023 pamoja na kuchangiwa na wajumbe wa baraza hilo.
MRADI WA MAJI BILIONI 119 KUIFAIDISHA RUANGWA - MAJALIWA
-
*Ashiriki kikao cha kutambulisha miaka miwili ya Rais Samia
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inakuja na mradi mkubwa wa
maji wenye thamani ya...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment