Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg.Daniel Chongolo akizungumza na WanaCCM wa Tawi la CCM Iguguno Shina Namba 5 Wilayani Mkalama, akiendelea za ziara yake Wilayani humo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Sophia Mjema akizungumza na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Iguguno Kaskazini Wilaya ya Mkalama katika mkutano wa hadhara ulifanyika katika viwanja vya Tawi hiliwakati wa ziara ya Kichama ya Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo.
No comments:
Post a Comment