Habari za Punde

Exim na Wakala wa Serikali Mtandao wasaini hati za makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji

Mkurugenzi Mkuuu wa fedha Exim bank Shani  Kinswaga akizungumza na watendaji wa Wakala wa Serikali Mtandao kabla ya kusaini hati za makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji katika kufikia malengo ya mkakati wa kidijitali wa Serikali  huko Golden Tulip Uwanja wa  ndege Zanzibar 
Mkurugenzi Mtendaji Wakala wa Serikali Mtandao e Gaz Said Seif Said akizungumza na watendaji wa Serikali Mtandao na Exim Bank kabla ya kusaini hati za makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji katika kufikia malengo ya mkakati wa kidijitali wa Serikali  huko Golden Tulip Uwanja wa  ndege Zanzibar .

Mkurugenzi Mtendaji Wakala wa Serikali Mtandao e Gaz Said Seif Said (kulia) na Mkurugenzi mkuuu wa fedha Exim bank Shani  Kinswaga wakisaini hati za makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji katika kufikia malengo ya mkakati wa kidijitali wa Serikali  huko Golden Tulip Uwanja wa  ndege Zanzibar .

 

PICHA NA FAUZIA MUSSA-MAELEZO ZANZIBAR

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.