Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Somanga katika Jimbo la Kilwa
Kaskazini wakati akihitimisha Ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 20
Septemba, 2023.
Wananchi wa Somanga wakiwa kwenye
shamrashamra za kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan wakati aliposimama eneo hilo kuwasalimia Wananchi wakati
akihitimisha Ziara yake katika Mikoa ya Kusini.
Wananchi wa Somanga wakiwa kwenye
shamrashamra za kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan wakati aliposimama eneo hilo kuwasalimia Wananchi wakati
akihitimisha Ziara yake katika Mikoa ya Kusini.
No comments:
Post a Comment