Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza Kikao cha Baraza la Mapinduzi leo 05 Oktoba, 2023, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. (Picha na Ikulu)
TAIFA GAS YAKATAA KUPANDISHA BEI YA GESI LICHA YA ONGEZEKO LA SOKO LA DUNIA.
-
KAMPUNI ya Taifa Gas imetangaza kuwa haitapandisha bei ya gesi ya majumbani
(LPG) licha ya kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo kwa takribani asilimia 43
katika ...
2 hours ago

0 Comments