RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya
Golden Tulip Zanzibar Kiembesamaki Uwanja wa Ndege Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 29-12-2023, kuhudhuria Maadhimisho ya Kilele cha
Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa Walipakodi wa Zanzibar 2023 na (kushoto kwake)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya
Salum na Katibu wa Baraza la Mapinduzi
na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi ya ZRA Prof.Hemed Rashid Hikmany, akizungumza katika Kilele cha
Mwezi wa Furaha na Shukrani kwa Walipakodi wa Zanbzibar 2023, hafla hiyo
iliyofanyika leo 29-12-2023 katika
ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya
ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum na (kushoto
kwa Rais) Kamishna Mkuu wa ZRA Ndg. Yussuf Juma Mwenda
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika Kilele cha Maadhimisho
ya Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa Walipakodi wa Zanzibar 2023, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika Kilele cha Maadhimisho
ya Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa Walipakodi wa Zanzibar 2023, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-12-2023
KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said akifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
wakati akihutubia katika Maadhimisho ya Kilele cha Mwezi wa Shukrani na Furaha
kwa Walipakodi wa Zanzibar 2023, iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden
Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaji Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
Jijini Zanzibar leo 29-12-2023 na (kulia kwake) Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi wa ZRA Prof Hemed Rashid Hikmany na Kamishna Mkuu wa ZRA Ndg.Juma
Yussuf Mwenda.
WAGENI waalikwa Walipakodi Zanzibar
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Maadhimisho ya
Kilele cha Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa Walipakodi wa Zanzibar 2023, hafla
hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-12-2023
WAGENI waalikwa Walipakodi Zanzibar
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Maadhimisho ya
Kilele cha Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa Walipakodi wa Zanzibar 2023, hafla
hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Huseein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalum ya mchango wake
katika kusimamia ulipaji wa Kodi Zanzibar, wakati wa Maadhimisho ya Kilele cha
Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa Walipakodi Zanzibar 2023, akikabidhiwa na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya
Salum, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja
wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo
29-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Huseein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalum ya mchango wake
katika kusimamia ulipaji wa Kodi Zanzibar, wakati wa Maadhimisho ya Kilele cha
Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa Walipakodi Zanzibar, akikabidhiwa na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum, hafla
hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-12-2023, na
(kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
na (kulia kwa Waziri) Kamishna Mkuu wa ZRA Ndg. Yussuf Juma Mwenda
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi TUZO Mshindi wa Jumla wa
Walipakodi wa Zanzibar Kampuni ya United Petroleum Ndg.V.Sathish Kumar (kulia
kwa Rais) katika Maadhimisho ya Kilele cha Mwezi wa Shukrani na Furaha kwa
Walipakodi wa Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya
Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini
Zanzibar na (kushoto kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum
No comments:
Post a Comment