Habari za Punde

Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndg.Samia Suluhu Hassan Amefungua Mafunzo ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa --ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindizi (CCM), Ndugu Samia Suluhu Hassan,ambaye pia ni Rais wa Jamhuria ya Muungano wa Tanzania,akifungua Semina ya Mafunzo kwa ajili ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) leo Januari 13, 2024 Unguja , Zanzibar. (Picha na CCM Makao Makuu)

Mafunzo Hayo Yanafanyika  Kwa Siku Mbili ikiwa na Lengo la Kuendelea Kuwajengea Uwezo Wajumbe pamoja Kuimarisha Chama cha Mapinduzi.




 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.