MUONEKANO wa barabara inayokwenda katika eneo
la Mtaa
wa Viwanda Dunga Zuze Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, leo 7-8-2024
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
ameweka Jiwe la Msingi la Uzinduzi wa Eneo la Ujenzi wa Viwanda Dunga Zuze
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment