Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt. Zakia Mohamed Bakar akishudia Mkazi wa Mtaa wa Karyambwa Wilayani Muleba Mkoani Kagera, Bw. Vedastus Manya Nsinde akiboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika kituo cha Shule ya Msingi Rubungo wakati zoezi la uboreshaji wa Daftari ulioanza jana Agosti 5,2024 Mkoani Kagera. Mikoa ya Kagera na Geita imeanza zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na litaendelea hadi Agosti 11, 2024.(Picha na INEC).
Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
-
Na Mwandishi Wetu, Moshi
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania
kulinda amani ya nchi, hasa taifa linapoelekea katika...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment