Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mawenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Amejumuika na Wanavyuoni na Wananchi Katika Dua ya Kumiombea Rais Mstaafu wa Tanzania Marehemu Ali Hassan Mwinyi Iliyofanyika leo 23-2-2025 Mangapwani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi, wakiwa katika kaburi la marehemu, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua, iliyofanyika leo 23-2-2025 katika viwanja vya Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanja vya zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya Dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika leo 23-2-2024, ikiwa ni mwaka mmoja tangu kufariki kwake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali, Wanavyuoni na Wananchi katika kisomo cha Hitma na dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika Zawiyani Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 23-2-2025 na (kulia Rais ) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdallu na (kushoto kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali, Wanavyuoni katika kisomo cha Hitma na dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika Zawiyani Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 23-2-2025, na (kulia Rais ) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdallu na (kushoto kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali
WANAVYUONI na Wananchi mbalimbali wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi katika kisomo cha hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja Kijijini kwao leo 23-2-2025
WANAVYUONI na Wananchi mbalimbali wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi katika kisomo cha hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja Kijijini kwao leo 23-2-2025

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa shukrani kwa Wananchi na Wanavyuoni, waliohudhuria katika  hafla ya Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi ,Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika Kijijini Kwao Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 23-2-2024.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa shukrani kwa Wananchi na Wanavyuoni, waliohudhuria katika  hafla ya Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi ,Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika Kijijini Kwao Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 23-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wananchi Wanavyuoni baada ya kumalizika kwa hafla ya kisomo cha hitma na dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika Zawiyani Mangapwani Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 23-2-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (kushoto kwa Rais) wakiwa katika kaburi la marehemu, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua, iliyofanyika leo 23-2-2025 katika viwanja vya Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi, wakiwa katika kaburi la marehemu, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua, iliyofanyika leo 23-2-2025 katika viwanja vya Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi, wakiwa katika kaburi la marehemu, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua, iliyofanyika leo 23-2-2025 katika viwanja vya Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.