Msajili wa Hazina Zanzibar Waheed Ibrahim Sanya akizungumza na kutowa maelezo wakati wa Utiaji wa Saini Mikataba ya Kiutendaji(PERFORMANCE CONTRACT)Baina ya Msajili wa Hazina wa Zanzibar na Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa jengo la ZURA Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 16-9-2025.
Utiaji wa Saini Mikataba ya Kiutendaji (Performance Contract) Baina Msajili
wa Hazina Zanzibar na Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma Zanzibar
-
Msajili wa Hazina Zanzibar Waheed Ibrahim Sanya akizungumza na kutowa
maelezo wakati wa Utiaji wa Saini Mikataba ya Kiutendaji(PERFORMANCE
CONTRACT)Baina...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment