Habari za Punde

Utiaji wa Saini Mikataba ya Kiutendaji (Performance Contract) Baina Msajili wa Hazina Zanzibar na Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma Zanzibar

Msajili wa Hazina Zanzibar Waheed Ibrahim Sanya akizungumza na kutowa maelezo wakati wa Utiaji wa Saini Mikataba ya Kiutendaji(PERFORMANCE CONTRACT)Baina ya Msajili wa Hazina wa Zanzibar na Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa jengo la ZURA Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 16-9-2025.











 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.